Mac Muga by Ali Kiba (Swahili)

Thread: Mac Muga by Ali Kiba (Swahili)

Tags: None
  1. Acrylic's Avatar

    Acrylic said:

    Default Mac Muga by Ali Kiba (Swahili)

    Would someone who knows Swahili be kind enough to translate this great song?

    Verse 1

    Mcheza bongo Mac Muga
    Yuko single sana Mac Muga
    Ukimwona mtu akijinamia kwa sababu ya maisha yamchanganya
    Chali wangu alizamia
    Kuenda kusini mwa Africa
    Huku pia akimchanua kwa sababu ya maisha aliyofuma
    Alikuwa maarufu sana,
    Akajiona yeye ndo winner
    Kwa kujichanganya na wasichana
    Club zote za huko kujulikana

    Yeye Mac Muga
    Wewe Mac Muga
    Ah, hii dunia,
    Mac Muga huruma!

    Chorus 2x
    Mungusha asumani alipofika South Africa alikuwa na maisha bora
    Ya juu, ya thamani tena yanayohitajika magari yote kwa nyumba

    Mbona sasa amesharejea, hajui wapi ataanzia!
    Hakuna kazi mtu akajinamia
    Mac Muga hii ni dunia

    Verse 2

    Akajichezea, gari ya kutembelea
    Shida walimwelezea wasichana na shida zao akawatatulia
    Wewe upewe nini Mac Muga
    Mungu akupe nini Mac Muga?
    Nyumba ulijijengea, foro kuta nyumba
    Wewe ndio wewe, wengine fala!

    Wewe, Mac Muga

    Mbona sasa umeshatimua!
    South Africa wamekutimua
    Na sasa home usharejea
    Wewe Mac Muga
    Mungu akupe nini Mac Muga?

    Chorus 2x

    Mungusha asumani alipofika South Africa alikuwa na maisha bora
    Ya juu, ya thamani tena yanayohitajika magari makubwa, nyumba

    Mbona sasa amesharejea, hajui wapi ataanzia
    Hakuna kazi mtu akajinamia
    Mac Muga hii ni dunia!

    Verse 3

    Yipes kana huoni kwa Mac Muga
    Woi noma huruma kanyongo’nyea
    Afanye nini sasa, cha kufanya
    Kila anachachofanya anaona anakosea
    Yikes, kama huoni kwa Mac Muga
    Woi noma huruma kanyongo’nyea
    Afanye nini sasa, cha kufanya
    Kila anachachofanya anaona anakosea

    Akiwa jambazi akili zake zitaishia
    Akiwa mwizi anaona atauliwa
    Akifikiria kujiua
    Nafsi yamzusha basi analia

    Wewe Mac Muga!
    Mungu akupe nini Mac Muga?

    Wewe Mac Muga!
    Basi upewe nini Mac Muga?
    Mungu alikuzawadia
    Sasa ushachezea!
    Wewe Mac Muga !
    Basi upewe nini Mac Muga?
    Mungu alikuzawadia maisha
    Sasa ushachezea!

    Haya, haya,
    Wangu Mac Muga
    Msela hao
    Wa mpani huna
    Wasee wa maskani wanakukimbia!
    Mac Muga noma
    Hee! Mac Muga
    Skonde, upige moyo konde,
    Mac Muga!
     
  2. Acrylic's Avatar

    Acrylic said:

    Default

    Is there anyone on this forum that knows Swahili that could translate this please?
     
  3. Acrylic's Avatar

    Acrylic said:

    Default

    I'll bump this up one more time in hopes that someone on the forum possibly knows Swahili. Thanks